Habari Rfi-ki
Tume ya uchaguzi nchini Kenya yazindua zoezi la uandikishaji wapiga kura
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:08
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Makala ya habari rafiki ya jumatatu septemba 29 2025 imeangazia hatua ya tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC kuzindua zoezi la kuwaandika wapiga kura ambalo limeonekana kuwavutia vijana wengi, maarufu kama Gen Z.Tumekuuliza msikilizaji je? unaona vijana wote wako tayari kujiandikisha na katika nchi yako vijana wanahamasishwa vipi. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, kwa kutuma maoni ya sauti kupitia nambari yetu ya whatsApp: +254110000420 ama pia kupitia Facebook : RFI Kiswahili