Habari Rfi-ki

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 3:47:02
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Makala ya kila siku yanayompa fursa msikilizaji kutoa maoni yake juu ya habari zilizopewa uzito wa juu kwa siku husika. Msikilizaji hushiriki kwa kutuma ujumbe mfupi pamoja na kupiga simu.

Episodios

  • Rais wa Uturuki Recep Erdogan kuzuru Ethiopia na Somalia Mwakani

    18/12/2024 Duración: 10min

    Hujambo karibu katika makala ya Habari Rafiki ambapo wasikilizaji walizungumzia tangazo la Rais wa Uturuki, Recep  Tayyip Edorgan,kuwa  atazuru Ethiopia na Somalia mwakani,  baada ya kupatanisha mataifa hayo mawili kufuatia mzozo wa bandari ya Somaliland.

  • Maoni ya wasikilizaji kuhusu habari zilizogonga vichwa vya habari wiki hii

    13/12/2024 Duración: 10min

    Hapa wasikilizaji wamezungumzia mkutano kati ya viongozi wa Rwanda na DRC kule Angola wikendi hii, pia vijana kujituma ili kufanya kazi kujikimu kimaisha

  • Tanzania, Uganda na DRC zafuzu kucheza AFCON

    22/11/2024 Duración: 10min

    Hujambo na karibu kwenye makala ya habari rafiki, leo tunajadili kufuzu kwa mataifa ya Tanzania Uganda na DRCongo , kucheza kwenye mchuano ya kuwania AFCON, mataifa haya yakiwakilisha Afrika Mashariki nchini Morroco mwaka ujao.   Je unazungumziaje kufuzu kwa mataifa haya?Haya hapa baadhi ya maoni.

página 2 de 2