Sbs Swahili - Sbs Swahili

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 105:05:07
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Listen to interviews, features and community stories from the SBS Radio Swahili program, including news from Australia and around the world. - Sikiza mahojiano, makala na hadithi za jumuiya kutoka Idhaa ya Kiswahili ya SBS Radio, ikijumuisha taarifa za habari kutoka Australia na ulimwenguni.

Episodios

  • Taarifa ya Habari 17 Julai 2023

    17/07/2023 Duración: 06min

    Watendaji wa kampuni ya ushauri ya Deloitte wafika mbele ya kikao cha Seneti baada ya kuvuja kwa sakala la ushuru la kampuni ya PwC.

  • Rais Ruto "Sitaruhusu maandamano Kenya"

    17/07/2023 Duración: 07min

    Rais wa Kenya Dkt William Ruto ameapa kutoruhusu kufanyika kwa maandamano ya upinzani ambayo yamepangwa kufanyika wiki ijayo.

  • Taarifa ya Habari 16 Julai 2023

    16/07/2023 Duración: 19min

    Mweka hazina wa taifa Jim Chalmers ame ondoka nchini usiku wa leo aki elekea nchini India, ambako atawakilisha Australia katika mikutano ya G-20 mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu mjini Gandhinagar.

  • Dr Joel Kimeto afunguka kuhusu safari yake katika sanaa

    16/07/2023 Duración: 38min

    Dr Joel Kimeto ni msanii maarufu wa nyimbo za injili ndani na nje ya Kenya.

  • Taarifa ya Habari 15 Julai 2023

    16/07/2023 Duración: 06min

    Upigaji kura umeanza katika eneo bunge la Fadden ambalo liko Gold Coast, wagombea wakifanya kampeni za dakika za lala salama kwa umma.

  • Taarifa ya Habari 14 Julai 2023

    14/07/2023 Duración: 05min

    Michele Bullock atakuwa Gavana mpya wa Benki Kuu ya Australia.

  • Jamii ya wakenya waomboleza kifo cha ghafla cha Lydia Cheptoo

    13/07/2023 Duración: 09min

    Kifo cha ghafla cha Lydia Cheptoo kimezua majonzi na simanzi, katika jumuiya ya wakenya nchini Australia.

  • Ni makaazi gani yanapatikana kwa wanafunzi

    12/07/2023 Duración: 11min

    Australia ni moja ya sehemu zinazo vutia kusomea ng'ambo.

  • Taarifa ya Habari 11 Julai 2023

    11/07/2023 Duración: 19min

    Australia na Ujerumani zatia saini ya biashara huru naku ahidi misaada ya ziada kwa Ukraine.

  • Balozi Ali Karume afutwa uanachama CCM

    10/07/2023 Duración: 07min

    Chama tawala cha CCM Zanzibar, kimemfuta uanachama kada wake, Balozi Ali Karume na kumtaka arejeshe kadi ya chama hicho.

  • Taarifa ya Habari 9 Julai 2023

    09/07/2023 Duración: 19min

    Waziri wa Elimu wa shirikisho Jason Clare amesema itabidi waziri mkuu wa zamani Scott Morrison, aishi na madhara ya mfumo wa robodebt katika dhamira yake.

  • Isaac "Viongozi wengi wa Afrika wanachaguliwa na mataifa ya Magharibi"

    06/07/2023 Duración: 11min

    Wanachama wa Jumuiya ya DR Congo wanao ishi mjini Sydney, walijumuika katika hafla maalum yaku adhimisha miaka 63 ya uhuru wa nchi yao pendwa.

  • Unastahili zingatia nini unapo panga kuhamia katika jimbo lingine?

    05/07/2023 Duración: 09min

    Kila mwaka, ma mia ya maelfu yawa Australia huhama kutoka majimbo wanako ishi kwa sababu za kazi, elimu, maisha, familia au msaada bora wa jamii.

  • Taarifa ya Habari 4 Julai 2023

    04/07/2023 Duración: 17min

    Waziri wa Fedha akaribisha uamuzi wa benki ya hifadhi wakuto ongeza kiwango cha riba.

  • Mahakama yasema mipango ya serikali ya Uingereza kwa waomba hifadhi ni kinyume cha sheria

    04/07/2023 Duración: 04min

    Mpango wa serikali ya Uingereza waku wapeleka waomba hifadhi Rwanda, ume patwa kuwa ni kinyume ya sheria na mahakama moja mjini London.

  • Kikosi cha ATMIS cha anza kuondoka Somalia

    03/07/2023 Duración: 08min

    Viongozi wa jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia, wamesema wamekamilisha awamu ya kwanza ya kupunguza idadi ya vikosi vyao nchini humo.

  • Taarifa ya Habari 2 Julai 2023

    02/07/2023 Duración: 14min

    Waziri Mkuu Anthony Albanese asema, ziada ya bajeti kuweka Australia katika nafasi imara kiuchumi.

  • Kuadhimisha wiki ya NAIDOC

    02/07/2023 Duración: 08min

    Wiki ya sherehe na kutambua historia na mafanikio yawa Aboriginal, inayo julikana kwa jina la NAIDOC ime anza leo Julai 2.

  • Taarifa ya Habari 27 Juni 2023

    27/06/2023 Duración: 17min

    Waziri Mkuu Anthony Albanese atetea hatua za serikali yake kukabili mgogoro wa utoaji wa nyumba.

  • Ongezeko ya gharama ya maisha yawaacha wafanyakazi wa mshahara wa chini bila uwezo wakumudu vitu vya msingi

    27/06/2023 Duración: 08min

    Utafiti mpya ume pata kuwa mfanyakazi nchini Australia wa wakati wote, anaye lipwa mshahara wa chini, huwa ana salia tu na $57 baada ya gharama mhimu za kila wiki.

página 25 de 26