Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

Rais Kagame aishutumu DRC kwa kuchelewesha amani, uchaguzi mdogo Kenya

Informações:

Sinopsis

Rais wa Rwanda Paul Kagame atuhumu DRC kwa kuchelewesha mchakato wa kumaliza vita mashariki mwa DRC, uchaguzi mdogo nchini Kenya wafuatiwa na kushambuliwa kwa mbunge wa HomaBay Town Peter Kaluma, mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea Bissau, rais wa Marekani Donald Trump asema anapanga kuzuia raia kutoka Nchi zinazoendelea kuingia nchini Marekani,tutaenda Israeli, na maeneo mengine duniani…hayo ni miongoni mwa mengi utakayosikia. Ungana na mwandishi wetu Ruben Lukumbuka, kusikiliza zaidi