Habari Za Un

Jifunze Kiswahili: Maana ya methali "MZOEA PUNDA HAPENDI FARASI"

Informações:

Sinopsis

Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali "MZOEA PUNDA HAPENDI FARASI"