Habari Za Un
Tathmini ya miaka 30 ya harakati za kusongesha haki za wanawake - Balozi Mwongella
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:07:39
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Jumamosi hii hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu masuala ya wanawake, tathmini ya miaka 30 ya harakati za kusongesha haki za wanawake. Sasa Sabrina Said amezungumza na aliyekuwa Katibu Mkuu wa mkutano huo Balozi Gertrude Mongella kupata tafakuri yake katika katika makala hii.