Habari Za Un
Amri ya kuhama 'kaa la moto' kwa WaPalestina Gaza
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:03:02
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Baada ya amri iliyotolewa na jeshi la Israel la kuwataka Wapalestina walioko katika eneo la mji wa Gaza huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel kuondoka eneo hilo kwani linataka kufanya mashambulizi, hali imekuwa mbaya kwa wananchi hususan wazee ambao sasa wanafunga safari kilometa nyingi kuondoka eneo hilo. Leah Mushi anatujuza masahibu wanayo kumbana nao watu hao.