Habari Za Un
Guterres aonya dhidi ya kurejea kwa majaribio ya silaha za nyuklia duniani
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:51
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ametoa wito kwa mataifa yote kuridhia mara moja Mkataba wa Kupiga Marufuku Majaribio ya Silaha za Nyuklia (CTBT), akisema “ni wakati wa kunyamazisha mabomu kabla hayajasikika tena.”