Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
Rais Kagame na Makubaliano ya Washington DC na mazishi ya Albert Ojwang Kenya
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:20:12
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Yaliyoangaziwa katika makala hii ni pamoja na kauli ya rais wa Kenya kujenga kanisa ndani ya ikulu ya Nairobi, rais Paul Kagame wa Rwanda na mkataba wa amani ulioisainiwa kati ya nchi yake na DRC, waziri mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa kutogombea tena ubunge kuwakilisha jimbo la Ruangwa, hali nchini DRC, Sudan na kauli ya Ufaransa kuwa inatarajia Algeria kumsamehe mwandishi wa vitabu Boualem Sansal aliyefungwa, lakini pia mkutano wa viongozi wa Ulaya kule London Uingereza kufanyika wiki ijayo