Habari Za Un
Malawi inachukua hatua madhubuti kukabiliana na changamoto za makazi - Mercy Bety Dube
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:16
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mkutano wa pili wa siku mbili wa Baraza Kuu la Makazi la shirika la Umoja wa Mataifa la Makazi Duniani UNHABITAT leo unafunga pazia jijini Nairobi Kenya. Baraza hilo linalofanyika kila baada ya miaka minne ni chombo cha juu kabisa duniani cha kufanya maamuzi kuhusu maendeleo ya miji endelevu na limewaleta pamoja wawakilishi kutoka nchi zote 193 wanachama wa Umoja wa Mataifa pamoja na wadau mbalimbali wa amendeleo ya miji. Flora Nducha na taarifa zaidi.