Habari Za Un
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ashutumu mashambulizi dhidi ya Wapalestina wanaotafuta msaada
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:49
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameeleza kughadhabishwa kufuatia kusambuliwa, kujeruhiwa na kuuawa kwa Wapalestina walipokuwa wakijaribu kupata msaada wa kibinadamu huko Gaza jana Jumapili, Juni Mosi. Selina Jerobon na taarifa zaidi.