Habari Za Un
Uwekezaji sahihi ni ule unaoanzia kwa wananchi na si ngazi ya juu - Madina
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:01
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mkutano wa siku mbili kuhusu Ubia wa Kimataifa kwa ajili ya dunia endelevu umekunja jamvi huko Hamburg nchini Ujerumani ambako Balozi wa Mabadiliok ya Tabianchi wa Vijana wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF nchini Tanzania, Madina Jubilate Kimaro ameshiriki.