Jukwaa La Michezo

Kipkeino Classic: Lachlan Kennedy aibuka mshindi wa mbio za mita 100

Informações:

Sinopsis

Tuliyokuangalia leo ni pamoja na matokeo ya riadha za Kipkeino Classic, mkutano mkuu wa FKF, tuzo za soka Rwanda, APR yasajili mchezaji Omot kuelekea fainali za BAL, DRC yajiandaa mechi za kirafiki kuelekea WAFCON, uchambuzi wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya