Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Je dunia iko katika njia sahihi kutimiza lengo la kumaliza njaa kufikia 2030?
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:39
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Jumatano ya Mei 28 2025, dunia itaadhimisha siku ya njaa ulimwenguni, siku hii ikilenga kutoa hamasa na kuchochea hatua kuchukuliwa ili kumaliza njaa duniani. Kulingana na ripoti ya kimtaifa ya 2025 kuhusu migogoro ya Chakula, zaidi ya watu milioni 295.3 katika nchi 53 wanakabiliwa na hali mbaya ya ukosefu wa usalama wa chakula.