Habari Za Un
Alice Kamau: Asante UNICEF na wadau ndoto ya mwanangu ya elimu imerejea
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:48
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mradi wa "operesheni rejea shuleni" unaoendeshwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia watoto UNICEF kwa ushirikiano na wizara ya elimu ya Kenya, shirika liliso la kiserikali la Hapag Lloyd na wadau wengine kwa kuzipa fedha familia zisizojiweza kuendesha shughuli za kiuchumi, umerejesha mautumaini ya elimu kwa mamia ya watoto katika Kaunti ya Kwale Pwani ya Kenya ambao waliacha shule sababu ya umasikini. Flora Nducha na maelezo zaidi.