Habari Za Un
WHO: Mkutano wa 78 wa Baraza la Afaya Duniani umeng’oa nanga Geneva
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:02:18
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Wajumbe kutoka kote duniani wamekusanyika mjini Geneva, Uswisi, kwa ajili ya Mkutano wa 78 wa Baraza la Afya Duniani (WHA78) unaofanyika kuanzia leo Mei 19 hadi 27 Mei mwaka huu. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Ulimwengu Mmoja kwa Afya” inaakisi dhamira ya pamoja ya kujenga mfumo wa afya wa kimataifa ulio imara, jumuishi na thabiti. Flora Nducha amefuatilia na hapa anatupasha zaidi