Habari Za Un
Mifuko iliyojazwa mchanga yafanikisha Barabara kupitika nchini Kenya
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:01:46
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Nchini Kenya, katika kaunti ya Meru hatua rahisi iliyochukuliwa inaleta mabadiliko makubwa na dhahiri kwani maeneo ambako awali barabara zilikuwa hazipitiki na hakuna mawasiliano, ubunifu wa kijapani umerejesha matumaini. Kulikoni? Assumpta Massoi anasimulia kupitia video ya Benki ya Dunia.