Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Uchakataji wa plastiki katika kuhifadhi mazingira ya bahari na kupata mapato
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:09:49
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Jamii za Pwani ya Kenya, zimekumbatia uchakataji wa plastiki kukabili tatizo la uchafuzi utokanao na taka za plastiki ambapo mujibu wa shirika la mazingira la UNEP, kila siku, kiasi sawa cha malori 2,000 ya kuzoa taka yaliyojaa plastiki hutupwa katika bahari, mito, na maziwa ya ulimwengu.