Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Uchakataji wa plastiki katika kuhifadhi mazingira ya bahari na kupata mapato

Informações:

Sinopsis

Jamii za Pwani ya Kenya, zimekumbatia uchakataji wa plastiki kukabili tatizo la uchafuzi utokanao na taka za plastiki ambapo  mujibu wa shirika la mazingira la UNEP, kila siku, kiasi sawa cha malori 2,000 ya kuzoa taka yaliyojaa plastiki hutupwa katika bahari, mito, na maziwa ya ulimwengu.