Habari Za Un
Nyumba yetu ilivamiwa na tulilazimika kukimbia hadi hapa Burundi – Mkimbizi Charles
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:04:43
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Mapigano yanayoendelea nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, yamesababisha zaidi ya watu 70,000 kukimbia makazi yao na kuvuka mpaka kuingia nchi jirani ya Burundi wakitafuta usalama.