Habari Za Un

Wataalamu huru walaani mashambulizi ya kikatili dhidi ya wanawake na wasichana - Sudan

Informações:

Sinopsis

Wataalamu huru wa haki za binadamu, leo Mei 14 wamekemea vikali ukiukwaji mkubwa na wa kimfumo dhidi ya wanawake na wasichana nchini Sudan ukiwemo ukatili wa kingono unaohusiana na vita, utekaji nyara, na mauaji, ambayo mengi yameripotiwa kufanywa na kundi la kijeshi la Rapid Support Forces (RSF). Anold Kayanda na taarifa zaidi.