Sbs Swahili - Sbs Swahili
Taarifa ya Habari 22 Aprili 2025
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:17:46
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Zaidi ya idadi yawa katoliki milioni 5 nchini Australia wana omboleza, kufuatia kifo cha Papa Francis. Imeripotiwa kuwa Papa alifariki akiwa na miaka 88, baada yaku kumbwa kwa kiharusi na mshtuko wa moyo.