Jua Haki Zako

  • Autor: Vários
  • Narrador: Vários
  • Editor: Podcast
  • Duración: 3:58:08
  • Mas informaciones

Informações:

Sinopsis

Jua Haki Zako ni makala yanayokuelimisha juu ya umuhimu wa kufahamu haki zako na sheria halali zilizomo kwenye jamii, mataifa na dunia kwa ujumla. Jua Haki Zako itakuelimisha juu ya masuala mbalimbali ya kisheria ndani ya Afrika Mashariki, Afrika na Duniani kwa ujumla.

Episodios

  • Kenya : Vijana wa Kenya hawana ajira

    19/02/2025 Duración: 09min

    Nchini Kenya kwa mjibu taasisi ya twakwimu za serikali vijana millioni 3.5 hawana ajira, kumbuka idadi hii inawewa kuwa ya juu zaidi . Vigezo kadhaa vikihusishwa na ukosefu huo wa ajira, wakati huu serikali nayo ikisema ipo katika juhudi za kuhakikisha vijana wapata ajira.Kufahamu mengi zaidi skiza makala haya.

  • Serikali ya Uganda yapata shinikizo kumwachia kiongozi wa upinzaji Kizza Besigye

    18/02/2025 Duración: 09min

    Serikali ya Uganda inapata shinikizo kutoka kwa wapinzani na watetezi wa haki za binadamu kumwachia huru mwanasiasa mkongwe Kizza Besigye anayekabiliwa na mashaka katika Mahakama ya kijeshi ambaye kwa siku kadhaa sasa amegoma kula akiwa gerezani, hali ambayo imedhoofisha afya yake.Tulimuuliza msikilizaji  anazungumzia vipi masaibu yanayomkumba Besigye  na anafikiri ni kwanini inachukua muda kuihamisha kesi ya mwanasiasa huyo kutoka Mahakama ya kijeshi kwenda kwenye Mahakama za kiraia ?

  • DRC : Haki ya raia wa Goma baada ya waasi wa M23 kuwasili eneo hilo

    06/02/2025 Duración: 09min

    Katika makala haya tunazama kuangazia hali ya kibinadamu kule Goma baada ya waasi wa M23 kuwasili katika mji huo.Je hali ya kibinadamu ipo je baada ya waasi wa M23 kuwasili Goma. Kufahamu mengi zaidi skiza makala haya.

  • Africa : Serikali zinaendelea kukiuka haki za raia

    28/01/2025 Duración: 10min

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Human Right Watch limechapisha taarifa lituhumu serikali za Africa namna gani zimeshindwa kulinda haki za raia wake. Katika makala haya Benson Wakoli amezungumza na maafisa kutoka Human Right Watck kuelewa hali kamili/.Skiza makala haya kuelewa zaidi.

página 2 de 2